Je mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu aliyepigwa risasi kadhaa nchini mwake Tanzania, anazungumzia vipi hatua ya spika wa bunge kumvua ubunge wakati ambapo angali anaendelea kupata huduma za matibabu nchini Ubelgiji? Sikiliza mahojiano yake na Sudi Mnette