Katika Video hii... nimejaribu kuwaelekeza jinsi yakupika keki kilo 2 kwa biashara na kwa upambaji
Social media
-Instagram @mziwanda_bakers
Asanteni
Ingredients
Unga /Flour 2kg
Mayai/Eggs 20
Maziwa/Milk 1ltr
Sukari/Sugar 1200g
Margarine 1000g
Ladha/Flavour 10mls
Baking powder 60g
Category
Show more
Comments - 378
@
@glsflorahflekerntuuyozange4 years agoThank you for sharing, very nice cakes. But where can i buy that oven and trays? Plz thanks.
@
@ilhamkeis96094 years agoDada mziwanda ninerudirecepe leo wallahi nataman nkutumie picha, cake zimetoka vizuuti sana na kaini. nakuombea kwa allah subhaana huu wataala azidi kukufungulia rizki na kukuzidishia ujuzi na barka zaidi. Aamin na shukran sana dadaangu. ...Expand7
@
@alexandrinadomaino98684 years agoWoow safi sana unaongea vizur thanks dear. 5
@
@halimavuhya58814 years agoMashaallah inavutia kweli mm naomba kama waweza kunipa vipimo ya kutoa keki kilo moja tu nimpikie mwanangu ya birthday. Asante. 1
@
@husseinparco96404 years agoMashallahu tumependa allah akuzidishie inshallah. 1
@
@mariamsamson39274 years agoKazi nzuri hongera. Naomba kujua naweza weka maji badala ya maziwaah.
@
@fahimanassor96964 years agoAsante sana mamy naomba kujua hivyo vikopo nikimwambia fundi anitengenezee nimpe kipimo gani.
@
@officialnaa84704 years agoHongera sana nimependa vipimo tu naomba iwe rain. 1
@
@judithfrank49684 years agoKazi nzuri dear, nimeipenda, nauliza ni aina gani nzuri ya baking powrder kwa ajili ya keki na maandazi pai. 1
@
@aminamwashabwi64704 years agoA. Alykm dadaa. Mzima kweli? Kimya sana. Tumekosa video zako sana wallah.
@
@charlesnams13582 years agoKazi safi sana hongera! Na je mko nafasi ya kuonyesha mtu moja kwa moja.
@
@suzanealoyce65893 years agoHongera sana dada asante kwa somo zuri.
@
@user-bm5md2tz7r3 months agoThanks quantity ya all those ingredients plz dada.
@
@hussenjuma10492 years agoMinaomb kuuliz kwann mm nikipika keki haikai lev inajaa upand mmoj.
@
@issahemedi40574 years agoMashallah mziwanda bekar mko vizuri asante dada nimefata maelekezo yako cake imetoka nzuri mno mungu akubariki.
@
@sofiaahmed88804 years agoMashallah! Jee unaweza kunifundisha hio biashara nami nikafunguwa biashara yangu. 1
@
@malicelaluambano61814 years agoMashaalah kipenzi naomba nijuze hivyo vikopo vipimo vyake nikachonge mpenzi namimi ndo naanza, nijue hicho unachouza keki 10 vipimo vyake na hii ya box.
@
@sabrasalum88984 years agoAsalam aleykum naomba unifundishe keki ya mayai 6 pls.
@
@MariamMohamed-bw8xf4 years agoDada mziwanda naomba tuwasiliane ili tuonge kuhusu hizo mashini dadaangu plz mm niko njee ya tanzania.
@
@kasawakiraba4434last yearHello mziwanda baker sorry hapo kwenye maziwa naweza tumia kimiminika gan tofauti na maziwa?
@
@sheilasalum53253 years agoMashaallah mie nataka kujua bei ya oven na mashine.
@
@magrethnzoyo12112 years agoHabali mafunzo ya keki sh ngapi? Na ni muda gani. Asant.
@
@saraphinamwaluko14395 years agoHongera sana kazi nzuri. Mungu akujalie zaidi na zaidi. 1
@
@najlaskitchen15724 years agoDada naweza tumia handmixer kwa keki hii ya kilo mbili?
@
@sherrysaleh46334 years agoAs. Kum habibty naomba kujua kwa mchanganyiko huo wa 2kg unatoa cupcake ngapi ndani yake za 500.
@
@sarahwilson5865 years agoHongera sisy. Nimefurahi kuona kazi zako huku. Big up. 1
@
@ashanassor71035 years agoAsante mimi niko uganda lathaa hizo zapatikana. 1
@
@anethmpoma11324 years agoSamahani dada, kwenye baking powder ni 60g ambayo ni vijiko vingapi? 1
@
@dorineanatory51614 years agoNilitumia hii recipe cake ilitoka vizuri sana. Asante.
@
@fatinasempanga24554 years agoMe naomba kujua kinachofanya cake iwe na unjano mzuri ndani na sio brown.
@
@glorymsof58793 years agoNimeipenda sana kwa kwel sasa napataje hivyo vikopo jaman.
@
@rehemavincent50344 years agoHi mziwanda, je natakiwa ku preheat kwa muda gani na moto wa kiasi gani? Natumia oven mdogo pia wakati wa kuoka natakiwa kuset bakingipi? Natumia pmc oven.
@
@elizabethsamwel96554 years agoZimetoka cake ngap? Na ukumbwa wa inch ngap? Thanks sis.
@
@muznasilima59782 years agoHabar dada nimejaribu kufany ila sikuziweza hazikuvimb hlf km zilikua na nzito na majimaji.
@
@dorcasbundala25973 years agoIts nice, bt nmejarbu yangu haina weupe mzur kwa ndan na ulaini.
@
@janethamars72624 years agoJamani mkoa wa mwana amna wauzaji wa cake mm niko nyehunge buchosa nataka cake ya birthday ya mwanang.
@
@brenderminani945 years agoMungu akudaidie katika kazi yako upo vzr nimeelewa ila vizur ungetuambia sukar kiasi gani bluband kias gan kula kitu ulichotumia ni kiasi gani nakupenda na kazi yako.
@
@bettymassanja8814 years agoSamahani dada mziwanda bakers, gram 60 ni sawa na vijiko vipimo vingapi tafadhali?
@
@tumainijacob601810 months agoNaomba vipimo vya cake ya unga kilo mbili.
@
@zunaidahkhatym41754 years agoNaomba utuwekee na vipimo sijaona mfano baking powder umeeka vijiko vingapi.
@
@brenderminani945 years agoDear ninashida na namba yako ya biashara.
@
@sabrasalum88984 years agoNaomba namba ya whatsup pls kama hnafundisha kwenye whatsup.
@
@agnessahia4154 years agoHivi nisipo weka maziwa inakuwaje na cupcakes ukiziweka maziwa zinachukua mda gani bila kuharibika dada naomba unijibu pls.
@
@sharoo_cakes2 years ago@mziwanda bakers jee waeza nisaidia na vipimo za tin yako ya shepu na mkate(loaf pan) nitashukuru sana.
@
@azzahsaed76874 years agoHabari keki nzuri ma sha allah lkn naomba kuuliza zinaweza kukaa mda gani bila kuharibika kwasababu umetuma maziwa au lazima zikae kwenye fredge.
@
@lmmaculatetoto39574 years agoBeautiful, nitajaribu ata mimi, nakupenda sana.
@
@floraelias57122 years agoSs unaelekeza lkn wala huelezei vipimo ndo nn sa.
@
@noelakataraiha66924 years agoNmekupendaa! Yaan uko yule mtu watu tunataka.
@
@zuhurashafii63054 years agoAmazing job, hongera sana, nataman kufika hatua uliyofika, nataka kujua baking tin zako ni inches ngap kwa ngap.
@
@bahatimsuya30314 years agoHongera sana kazi yako nzuri sana. Naomba kujua bei ya oven kama hiyo na naipata wapi?
Related videos for JINSI YA KUPIKA KEKI, KILO 2 TUUU/ BIASHARA YA KEKI : Mziwanda Bakers:
nakuombea kwa allah subhaana huu wataala azidi kukufungulia rizki na kukuzidishia ujuzi na barka zaidi. Aamin na shukran sana dadaangu. ...Expand 7
je natakiwa ku preheat kwa muda gani na moto wa kiasi gani? Natumia oven mdogo
pia wakati wa kuoka natakiwa kuset bakingipi? Natumia pmc oven.
nimejaribu kufany ila sikuziweza hazikuvimb hlf km zilikua na nzito na majimaji.